1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Leverkusen kukamilisha msimu bila kupoteza mechi

Josephat Charo
13 Mei 2024

Bayer Leverkusen ipo tayari kuwa timu ya kwanza katika histori ya Bundesliga kutopoteza mechi hata moja msimu mzima. Viongozi wa klabu ya Bayern Munich wagadhabishwa na utafutaji kocha mpya unaochukua muda mrefu. Beki wa Manchester City Josko Gvardiol ajiimarisha katika ligi ya Premier.

https://p.dw.com/p/4fnn4