1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ujerumani yakabiliwa na uhaba mkubwa wa makazi

Angela Mdungu-Jokisch3 Mei 2024

Uhaba wa makazi nchini Ujerumani, ni tatizo kubwa la kijamiii. Kupata nyumba ya kupanga hivi sasa limekuwa suala gumu ambalo linaweza kufananishwa na kushinda bahati nasibu. Ungana na Angela Mdungu katika makala ya Sura ya Ujerumani kufahamu zaidi kuhusu tatizo hilo.

https://p.dw.com/p/4fSJw